Waziri Mkuu wa Uholanzi Mark Rutte akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ofisi yake na kufanya naye mazungumzo Jijini The Hague tarehe 16/04 .Rais Kikwete alikuwa katika ziara rasmi ya siku mbili nchini Uholanzi kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo.
------------------------------------------------
No comments:
Post a Comment