Breaking News, Home News, international News, Comprehensive, up-to-date News coverage, aggregated from sources all over the world...

Thursday 18 April 2013

MLIPUKO MWINGINE MKUBWA WATOKEA NCHINI MAREKANI NA SASA NI MJI WA TEXAS.........

 
Smoke rises from the scene of an explosion at the West Fertilizer Co. plant in West, Texas in this April 18, 2103 still image from video courtesy of NBCDFW TV. REUTERS/NBCDFW-NBC/Handout
Moshi unaonekana kwa mbali ukifuka kutoka kwenye kiwanda cha West Fertilizer Co. plant in West, Texas .


Remains of fertiliser plant burn after explosion


 
Watu karibu 15 wamepoteza maisha na takriban 160 kujeruhiwa vibaya ktk mlipuko mkubwa uliotokea ktk kiwanda cha mbolea cha Waco ktk mji wa Texas nchini Marekani.
 
Mlipuko huo, mbali watu kupoteza maisha na kujeruhiwa vibaya , vilevile umeleta hasara kubwa ya kuharibiwa mali, majumba, magari na kadhalika.
 
Akielezea mazingira yalivyokua mmoja wa mashahidi aliyejulikana kwa jina la Debby Marak alisema ‘ilikua ni kama kuona tornado. Vitu vilirushwa hewani na kuzagaa kila mahali. Vikundi vya zimamoto na polisi  bado vinaendelea kutoa juhudi kubwa ili kupunguza madhara zaidi yasitokee. 
 
Hili ni tukio la  mlipuko pili wiki hii Nchini Marekani wakati juzi katika Mji wa Boston wakati wa mbio za Marathon za mji huo  kulitokea Mlipuko unaosadikiwa kuwa ni mabomu uliua wananchi 3 na kujeruhi 170. Ni masaa zaidi ya 48 na bado hakuna alieshikiliwa kwa tukio hilo.
 
..........................................................

No comments:

Post a Comment