Breaking News, Home News, international News, Comprehensive, up-to-date News coverage, aggregated from sources all over the world...

Wednesday 17 April 2013

KATIBU MKUU WA CCM NA BAADHI YA WANA SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA , WAZUNGUMZA NA WANA KILOSA...



kwa hisani ya fullshangweblog.com
 
7
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana kulia akizungumza na Mohamed Seif Khatib katikati na Mjumbe wa Katibu wa NEC Idara ya Oganizesheni na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro  Innocent Kalogeris  mara baada ya kuwasili Wilayani Gairo wakitokea Wilayani Kilosa ambako kabla ya kuondoka kulifanyika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Kilosa Town mjini Kilosa pia ilifanyika  mikutano ya ndani ambapo Katibu Mkuu aliongea na viongozi wa mashina, Madiwani wenyeviti, wajumbe na waasisi wa chama hicho ikiwani pamoja na kufungua mashina katika kuimarisha chama na kukagua baadhi ya shughuli za maendeleo, kushoto ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
 
6
 
Kikundi cha  ngoma za asili ya kabila la Wapogolo kikicheza ngoma hiyo kabla ya kufanyika kwa mkutano wa hadhara katika uwanja wa Kilosa Town na kuhudhuriwa na wananchi mbalimbali pamoja na wafuasi wa chama hicho
 
 
5
 
Kwaya ya CCM Kilosa ikiimba katika mkutano huo uliofanyika kwenye uwanja wa Kilosa Town
 
 
 
 4
Nd.Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi chama cha Mapinduzi akiwahutubia wananchi waliojitokeza katika uwanja wa Kilosa Town uliofanyika mjini Kilosa
 
 
 3
 
 
Kilosa leo
 
 
 
 12
 
Viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Kilosa wakimsikiliza Ndugu Abdurahman Kinana wakati alipokutana nao leo katika mkutano wa ndani mjini
Kilosa
 
 
 10
 
 
 
 
9
 
Kilosa.
 
 
 
 6
 
 
 
4
 
 
 
1
 
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdurahman Kinana akimsikiliza Datomax Selanyika Kaimu Mkuu wa Hifadhi ya Mikumi wakati alipokuwa akimuelezea faida za kuhifadhi Mbuga za wanyama na kutunza mazingira ya mbuga hizo, Datomax pia amezungumzia mpango wa kuihamisha barabara ya lami itokayo Dar es salaam kwenda Tunduma ambayo imekatisha katika mbuga hiyo na faida za kuihamisha 
--------------------------------------

No comments:

Post a Comment