Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Reginald Mengi ambaye alichangia shilingi milioni 100 kwa ajili ya kusaidia upanuzi na maendeleo ya Chuo Cha Kiislamu cha Al-Haramain kwenye harambee iliyofanyika Jumamosi usiku katika hoteli ya Serena jijini
Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika harambee ya kusaidia upanuzi na maendeleo ya Chuo Cha Kiislamu cha Al-Haramain iliyofanyika hoteli ya Serena iliyopo jiji la Dar es Salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na baadhi ya Wageni baada ya kuwa mgeni rasmi katika harambee ya kusaidia upanuzi na maendeleo ya Chuo Cha Kiislamu cha Al-Haramain Jumamosi usiku katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA IKULU
No comments:
Post a Comment