Pichani ni Watoto Sita waliouliwa na Wazazi wao katika Mji wa Debry uliopo Nchini Uingereza. kwa bahati mbaya baada ya kuamua kuchoma nyumba ili wamsingizie aliekuwa mke mwingine wa baba yao. Wazazi hao walitegemea wangeweza kuwatoa watoto wao ndani ya nyumba kabla moto haujawa mkubwa lakini walishindwa hatimae walisababisha vifo vya watoto wao wote........ Dwayne, John, Jaden, Jade, Jack & Jesse (wote chini ya miaka 13) Mahakama imewakuta wazazi hao (Mick & Maaired Philpott pichani ) na hatia ya kuua watoto zao baada ya kuanzisha moto huo. -------------------------------------------------------------------------- |
Tuesday 2 April 2013
WAZAZI WAHUKUMIWA KUUA WATOTO WAO SITA KWA MOTO -UINGEREZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment