Breaking News, Home News, international News, Comprehensive, up-to-date News coverage, aggregated from sources all over the world...

Tuesday 16 April 2013

TIMU YA CARDIFF CITY YAINGIA KUNDI LA "PREMIER LEAGUE" YA UINGEREZA ..........


 
     Cardiff City ya Wales  wameingia katika "Premier League " baada ya kutoana 0-0 na timu ya Charlton ya London.
 
Hii ina maana ya kwamba  Cardif City FC itaungana na timu ya Swansea City kuiwakilisha Wales  kwenye Premier League season ijayo.

Kurudi kwa Cardiff City kwenye kundi la Premier League kumechukua miaka 50 kwani mara ya mwisho wachezee kundi hilo ilikuwa ni mwaka 1962.
Twigavoice tunasema Well done "Bluebirds" . Tunawatakia kila la kheri.
-----------------------------------------------------
 

No comments:

Post a Comment